Ayubu 39:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara tu baragumu inapopiga yeye husema Aha!Naye hunusa harufu ya pigano kutoka mbali sana,Mshindo wa wakuu na kelele za vita.+ Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+ Ufunuo 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+
25 Mara tu baragumu inapopiga yeye husema Aha!Naye hunusa harufu ya pigano kutoka mbali sana,Mshindo wa wakuu na kelele za vita.+
11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+