6 Nilitega sikio na kuendelea kusikiliza, lakini mazungumzo yao hayakuwa mazuri.
Hakuna mtu aliyetubu uovu wake au kuuliza, ‘Nimefanya nini?’+
Kila mmoja anarudi tena na tena kwenye njia inayopendwa na wengi, kama farasi anayekimbia kasi kuingia vitani.