11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+
11 Kwa maana kama vile dunia inavyotoa chipukizi lake, na kama vile bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa ndani yake,+ ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakavyotoa chipukizi la uadilifu+ na la sifa mbele ya mataifa yote.+
17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+