Yohana 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, ikiwa mimi, nijapokuwa Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ ninyi pia mnapaswa kuoshana miguu.+ Wafilipi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana, bali alijiondolea mwenyewe hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa kama wanadamu.+
14 Kwa hiyo, ikiwa mimi, nijapokuwa Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ ninyi pia mnapaswa kuoshana miguu.+