Zaburi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbusuni mwana,+ ili Yeye asikasirikeNanyi msiangamizwe kutoka njiani,+ Kwa maana hasira yake huwaka kwa urahisi.+Wenye furaha ni wale wote wanaomkimbilia.+ Isaya 52:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 vivyo hivyo atayashtua mataifa mengi.+ Wafalme watafunga kinywa chao mbele yake,+ kwa sababu kwa kweli wataona yale ambayo hawakuwa wamepata kusimuliwa, nao watafikiria mambo ambayo hawakuwa wamepata kusikia.+ Isaya 60:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na hakika mataifa yataenda kwenye nuru yako,+ na wafalme+ kwenye mwangaza wa mwanga wako.+
12 Mbusuni mwana,+ ili Yeye asikasirikeNanyi msiangamizwe kutoka njiani,+ Kwa maana hasira yake huwaka kwa urahisi.+Wenye furaha ni wale wote wanaomkimbilia.+
15 vivyo hivyo atayashtua mataifa mengi.+ Wafalme watafunga kinywa chao mbele yake,+ kwa sababu kwa kweli wataona yale ambayo hawakuwa wamepata kusimuliwa, nao watafikiria mambo ambayo hawakuwa wamepata kusikia.+