22 Wakasema: “Kornelio, ofisa-jeshi, mwanamume mwadilifu na mwenye kumwogopa Mungu+ na mwenye sifa njema+ katika taifa lote la Wayahudi, malaika mtakatifu alimpa maagizo ya Mungu kwamba atume watu ili uitwe uje nyumbani kwake apate kuyasikia mambo utakayosema.”