9 Nawe unajua vema kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli,+ yule Mungu mwaminifu,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kwa wale wanaompenda na wale wanaoshika amri zake mpaka vizazi elfu,+
5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+