22 Hiyo ndiyo maana wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova; kwa kuwa hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kati ya wote ambao tumewasikia kwa masikio yetu.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+