Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+ Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.” 1 Petro 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+
2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+
3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”