Kumbukumbu la Torati 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe umeanza kumfanya mtumishi wako aone ukuu+ wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni nani aliye mungu mbinguni au duniani ambaye hutenda matendo kama yako na utendaji wenye nguvu kama wako?+ Zaburi 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana neno la Yehova ni la unyoofu,+Nayo kazi yake yote ni kwa uaminifu.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ Zaburi 111:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kazi za mikono yake ni kweli na hukumu;+ נ [Nun]Maagizo yake yote anayotoa ni yenye kutegemeka,+
24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe umeanza kumfanya mtumishi wako aone ukuu+ wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni nani aliye mungu mbinguni au duniani ambaye hutenda matendo kama yako na utendaji wenye nguvu kama wako?+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+