Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Zaburi 85:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nazo fadhili zenye upendo na ukweli, zimekutana;+

      Uadilifu na amani—zimepigana busu.+

  • Zaburi 86:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hakuna yeyote aliye kama wewe katikati ya miungu, Ee Yehova,+

      Wala hakuna kazi zozote kama zako.+

  • Zaburi 98:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Amezikumbuka fadhili zake zenye upendo na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+

      Miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki