Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+

  • Matendo 13:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa kweli, Yehova ameweka amri juu yetu kwa maneno haya, ‘Nimewaweka ninyi kuwa nuru ya mataifa,+ ili muwe wokovu mpaka sehemu ya mwisho ya dunia.’ ”+

  • Matendo 28:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo jueni kwamba njia hii ambayo Mungu anaitumia kuokoa, imepelekwa nje kwa mataifa;+ wao hakika wataisikiliza.”+

  • Waroma 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo nauliza, Je, walikosa kusikia? Kwani, kwa kweli, “sauti yao ilifika+ katika dunia yote, na maneno yao mpaka miisho ya dunia inayokaliwa.”+

  • Wakolosai 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 bora tu, bila shaka, mwendelee katika imani,+ mkiwekwa imara juu ya msingi+ na mkiwa thabiti+ na bila kuondoshwa kwenye tumaini la ile habari njema mliyoisikia,+ na ambayo ilihubiriwa+ katika uumbaji wote+ ulio chini ya mbingu. Mimi Paulo, nilikuja kuwa mhudumu wa hii habari njema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki