6 “Mimi mwenyewe, Yehova, nimekuita katika uadilifu,+ nami nikakushika mkono wako.+ Nami nitakulinda na kukutoa kuwa agano la watu,+ kuwa nuru ya mataifa,+
18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa.
47 Kwa kweli, Yehova ameweka amri juu yetu kwa maneno haya, ‘Nimewaweka ninyi kuwa nuru ya mataifa,+ ili muwe wokovu mpaka sehemu ya mwisho ya dunia.’ ”+