6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+
12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”