Zaburi 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+ Isaya 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki.
6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+
32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki.