Isaya 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+ Yeremia 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika siku hizo na katika wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi la uadilifu,+ na hakika yeye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+ Waebrania 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+
4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+
15 Katika siku hizo na katika wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi la uadilifu,+ na hakika yeye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+
8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+