2 Wathesalonike 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi-sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa+ chake na kumfanya kuwa si kitu kwa ufunuo+ wa kuwapo kwake.+ Ufunuo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo tubu.+ Usipofanya hivyo, mimi ninakuja kwako upesi, nami nitapigana nao vita+ kwa ule upanga mrefu wa kinywa changu.+
8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi-sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa+ chake na kumfanya kuwa si kitu kwa ufunuo+ wa kuwapo kwake.+
16 Kwa hiyo tubu.+ Usipofanya hivyo, mimi ninakuja kwako upesi, nami nitapigana nao vita+ kwa ule upanga mrefu wa kinywa changu.+