Zaburi 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Umependa uadilifu+ nawe unachukia uovu.+Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako,+ amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.+ Methali 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Fungua kinywa chako, hukumu kwa uadilifu na kutetea mtu mwenye kuteseka na maskini.+
7 Umependa uadilifu+ nawe unachukia uovu.+Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako,+ amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.+