15 Yesu akajibu, akamwambia: “Acha iwe hivyo, wakati huu, kwa maana katika njia hiyo inafaa kwetu kufanya yote yaliyo ya uadilifu.”+ Ndipo akaacha kumzuia.
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+