Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 61:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+ kwa sababu Yehova amenitia mafuta+ niwatangazie wapole habari njema.+ Amenituma kufunga majeraha ya waliovunjika moyo,+ kutangaza uhuru kwa wale waliochukuliwa mateka+ na kufunguliwa kabisa kwa macho hata kwa walio wafungwa;+

  • Matendo 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ijapokuwa hivyo, Herode na pia Pontio Pilato+ pamoja na watu wa mataifa na pamoja na vikundi vya watu wa Israeli kwa kweli walikusanyika pamoja katika jiji hili dhidi ya mtumishi wako mtakatifu+ Yesu, ambaye ulimtia mafuta,+

  • Matendo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki