Zaburi 147:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anawaponya+ wenye mioyo iliyovunjika,+Naye anafunga sehemu zao zenye maumivu.+ 2 Wakorintho 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo Mungu, ambaye huwafariji+ wale walioshushwa chini, alitufariji kwa kuwapo kwa Tito;