Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ili kusikia kuugua kwa mfungwa,+

      Ili kuwafungua wale waliowekwa kwa ajili ya kifo;+

  • Yeremia 34:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova baada ya Mfalme Sedekia kufanya agano pamoja na watu wote waliokuwa Yerusalemu ili kuwatangazia uhuru,+

  • Waroma 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 kwamba uumbaji+ wenyewe pia utawekwa huru+ kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.

  • Wagalatia 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.

  • Waebrania 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na ili awaweke huru+ wale wote ambao kwa kuogopa kifo+ walikuwa wametiishwa chini ya utumwa katika maisha yao yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki