18 “Roho ya Yehova+ iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuwatangazia maskini habari njema, alinituma kuhubiri kuachiliwa huru kwa mateka na kupata kuona tena kwa vipofu, kuacha waliopondeka waende zao wakiwa wameachiliwa huru,+
22 Kwa sababu hiyo akajibu, akawaambia hao wawili: “Nendeni,+ mkamwambie Yohana yale mliyoona na kusikia: vipofu+ wanaona, vilema wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, maskini wanaambiwa+ ile habari njema.+
18 kufungua macho+ yao, kuwageuza kutoka katika giza+ kuingia katika nuru+ na kutoka katika mamlaka ya Shetani+ na kumgeukia Mungu, kusudi wapokee msamaha wa dhambi+ na urithi+ kati ya wale waliotakaswa+ kwa imani yao kwangu.’