Isaya 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+ Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+ na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+ Isaya 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+
18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+
7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+