Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+

  • Yeremia 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+

  • Marko 7:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Basi, uwezo wake wa kusikia ukafunguka,+ na kile kifungo cha ulimi wake kikafunguliwa, naye akaanza kusema kama kawaida.

  • Luka 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa sababu hiyo akajibu, akawaambia hao wawili: “Nendeni,+ mkamwambie Yohana yale mliyoona na kusikia: vipofu+ wanaona, vilema wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, maskini wanaambiwa+ ile habari njema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki