Yeremia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo. Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:10 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, uku. 18
10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo.