Yeremia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:10 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, uku. 18
10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+