16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
8 Kwa maana kila mara ninaposema, mimi hulia. Jeuri na uporaji ndizo ninazotangaza.+ Kwa maana neno la Yehova lilikuwa kwangu kisababishi cha shutuma na cha dhihaka mchana kutwa.+