Yeremia 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kila mara ninapozungumza, lazima nipaze sauti na kutangaza,“Ukatili na uharibifu!” Kwa maana neno la Yehova limesababisha nitukanwe na kudhihakiwa siku nzima.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:8 jr 118 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:8 Yeremia, uku. 118
8 Kwa maana kila mara ninapozungumza, lazima nipaze sauti na kutangaza,“Ukatili na uharibifu!” Kwa maana neno la Yehova limesababisha nitukanwe na kudhihakiwa siku nzima.+