Yeremia 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kila mara ninaposema, mimi hulia. Jeuri na uporaji ndizo ninazotangaza.+ Kwa maana neno la Yehova lilikuwa kwangu kisababishi cha shutuma na cha dhihaka mchana kutwa.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:8 jr 118 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:8 Yeremia, uku. 118
8 Kwa maana kila mara ninaposema, mimi hulia. Jeuri na uporaji ndizo ninazotangaza.+ Kwa maana neno la Yehova lilikuwa kwangu kisababishi cha shutuma na cha dhihaka mchana kutwa.+