2 Mambo ya Nyakati 36:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa. Yeremia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo.
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.
10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo.