Isaya 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+Yafanye masikio yao yawe mazito,+Na uyafunge kabisa macho yao,Ili wasione kwa macho yaoNa wasisikie kwa masikio yao,Ili moyo wao usieleweNao wasigeuke na kuponywa.” Matendo 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+
10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+Yafanye masikio yao yawe mazito,+Na uyafunge kabisa macho yao,Ili wasione kwa macho yaoNa wasisikie kwa masikio yao,Ili moyo wao usieleweNao wasigeuke na kuponywa.”
51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+