Yeremia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo. Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana yeyote ambaye huzoea kutenda mambo maovu huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasikaripiwe.*
10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo.
20 Kwa maana yeyote ambaye huzoea kutenda mambo maovu huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasikaripiwe.*