Yeremia 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Umenipumbaza, Ee Yehova, nami nikapumbazika. Ulizitumia nguvu zako kunipinga, nawe ukashinda.+ Nimekuwa kitu cha kuchekwa mchana kutwa;Kila mtu ananidhihaki.+
7 Umenipumbaza, Ee Yehova, nami nikapumbazika. Ulizitumia nguvu zako kunipinga, nawe ukashinda.+ Nimekuwa kitu cha kuchekwa mchana kutwa;Kila mtu ananidhihaki.+