Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaoniona hunikejeli;+

      Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+

  • Yeremia 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ole wangu, ewe mama yangu, kwa sababu ulinizaa,+

      Mtu anayegombana na kuzozana daima na nchi yote.

      Sijamkopesha mtu wala kukopeshwa;

      Lakini wote wananilaani.

  • Yeremia 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wewe unajua, Ee Yehova,

      Nikumbuke na unikazie fikira.

      Nilipizie kisasi wanaonitesa.+

      Usiache niangamie* kwa sababu wewe hukasiriki upesi.

      Ujue kwamba ninabeba shutuma hii kwa sababu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki