Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+ na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+ Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+ Mathayo 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo umati mkubwa ukamkaribia, wakiwa pamoja na watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya;+
5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+
30 Ndipo umati mkubwa ukamkaribia, wakiwa pamoja na watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya;+