Marko 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+ Luka 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hiyo akajibu, akawaambia hao wawili: “Nendeni,+ mkamwambie Yohana yale mliyoona na kusikia: vipofu+ wanaona, vilema wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, maskini wanaambiwa+ ile habari njema.+
32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+
22 Kwa sababu hiyo akajibu, akawaambia hao wawili: “Nendeni,+ mkamwambie Yohana yale mliyoona na kusikia: vipofu+ wanaona, vilema wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, maskini wanaambiwa+ ile habari njema.+