Mathayo 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa walipokuwa wakiondoka, tazama! watu wakamletea bubu aliyeingiwa na roho mwovu;+ Luka 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye alikuwa akifukuza roho mwovu aliye bubu.+ Baada ya roho huyo mwovu kutoka, yule bubu akazungumza. Nao umati wakastaajabu. Matendo 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na katika maono amemwona mwanamume anayeitwa Anania akiingia na kuweka mikono yake juu yake ili apate kuona tena.”+
14 Baadaye alikuwa akifukuza roho mwovu aliye bubu.+ Baada ya roho huyo mwovu kutoka, yule bubu akazungumza. Nao umati wakastaajabu.
12 na katika maono amemwona mwanamume anayeitwa Anania akiingia na kuweka mikono yake juu yake ili apate kuona tena.”+