Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 146:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+

      Yehova anawainua wale walioinama chini;+

      Yehova anawapenda waadilifu.+

  • Isaya 42:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nitawafanya vipofu watembee katika njia ambayo hawakuijua;+ nitawafanya wakanyage katika barabara ambayo hawakuijua.+ Nitabadili mahali penye giza mbele yao pawe nuru,+ na nchi ya mawemawe iwe nchi tambarare.+ Hayo ndiyo mambo ambayo nitafanya kwa ajili yao, nami sitawaacha.”+

  • Mathayo 9:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na macho yao yakapata kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaagiza kwa kusisitiza, akisema: “Msimwambie mtu yeyote jambo hilo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki