4 Kila bonde na liinuliwe,+ na kila mlima na kilima kishushwe.+ Na nchi yenye matuta itakuwa nchi tambarare, na nchi yenye mawemawe itakuwa nchi tambarare ya bondeni.+
5 Kila mtaro lazima ujazwe, na kila mlima na kilima vifanywe tambarare, palipopindika lazima pawe njia nyoofu na mahali penye miparuzo pawe njia laini;+