Zaburi 145:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova anawategemeza wote wanaoanguka,+naye anawainua wote ambao wameinama chini.+ Zaburi 147:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anawatuliza wapole;+Anawashusha waovu mpaka chini.+ Luka 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaweka mikono yake juu ya mwanamke huyo; naye akanyooka+ mara moja, akaanza kumtukuza Mungu. 2 Wakorintho 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo Mungu, ambaye huwafariji+ wale walioshushwa chini, alitufariji kwa kuwapo kwa Tito;
13 Naye akaweka mikono yake juu ya mwanamke huyo; naye akanyooka+ mara moja, akaanza kumtukuza Mungu.