Zaburi 38:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeingiwa na wasiwasi, nimeinama kupita kiasi;+Nimetembea huku na huku kwa huzuni mchana kutwa.+ Zaburi 146:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+Yehova anawainua wale walioinama chini;+Yehova anawapenda waadilifu.+
8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+Yehova anawainua wale walioinama chini;+Yehova anawapenda waadilifu.+