Isaya 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+ Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+ na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+
18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+