Ayubu 30:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nilitembea huku na huku kwa huzuni+ wakati ambapo hakukuwa nuru ya jua;Nilisimama katika kutaniko, nikaendelea kulia nipewe msaada. Zaburi 42:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitamwambia Mungu mwamba wangu:+“Kwa nini umenisahau?+Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?”+
28 Nilitembea huku na huku kwa huzuni+ wakati ambapo hakukuwa nuru ya jua;Nilisimama katika kutaniko, nikaendelea kulia nipewe msaada.
9 Nitamwambia Mungu mwamba wangu:+“Kwa nini umenisahau?+Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?”+