Zaburi 38:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeingiwa na wasiwasi, nimeinama kupita kiasi;+Nimetembea huku na huku kwa huzuni mchana kutwa.+ Zaburi 43:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana wewe ni Mungu wa ngome yangu.+Kwa nini umenitupilia mbali?Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?+ Mhubiri 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.
2 Kwa maana wewe ni Mungu wa ngome yangu.+Kwa nini umenitupilia mbali?Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?+
4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.