Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa sababu ya ukandamizaji mwingi wanaendelea kuomba msaada;+

      Wanaendelea kulia wapewe msaada kwa sababu ya mkono wa wakuu.+

  • Amosi 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki