Ayubu 35:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu ya ukandamizaji mwingi wanaendelea kuomba msaada;+Wanaendelea kulia wapewe msaada kwa sababu ya mkono wa wakuu.+ Amosi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’ Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+
9 Kwa sababu ya ukandamizaji mwingi wanaendelea kuomba msaada;+Wanaendelea kulia wapewe msaada kwa sababu ya mkono wa wakuu.+
4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’
2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+