17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’
12 naye amemtendea vibaya mtu mwenye kuteseka na aliye maskini;+ naye amenyakua vitu kwa unyang’anyi,+ naye hakuwa akirudisha kitu kilichowekwa rehani;+ naye aliyainua macho yake kuelekea sanamu za mavi,+ yeye amefanya chukizo.+
12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.