Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nilipoona+ katikati ya nyara vazi rasmi kutoka Shinari,+ lenye kupendeza, na shekeli 200 za fedha na kipande kimoja cha dhahabu, uzito wake ukiwa shekeli 50, ndipo nikavitamani+ vitu hivyo, halafu nikavichukua;+ na, tazama! vimefichwa chini ya udongo katikati ya hema langu na zile pesa chini yake.”+

  • Zaburi 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+

      Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;

      נ [Nun]

      Amekosa kumheshimu Yehova.+

  • Zaburi 119:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  37 Uyafanye macho yangu yapite ili yasione jambo lisilofaa;+

      Unihifadhi hai katika njia yako mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki