Kutoka 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+ Zaburi 94:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanaendelea kuropoka, wanaendelea kusema ovyoovyo;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza wanaendelea kujivuna wenyewe.+ Zaburi 106:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini walionyesha tamaa yao ya ubinafsi nyikani+Na kumjaribu Mungu jangwani.+ Hosea 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Efraimu anaendelea kusema, ‘Kwa kweli nimekuwa tajiri;+ nimejipatia vitu vyenye thamani.+ Na kuhusu kazi yangu yote ya kutaabika, hawatanipata nikiwa na kosa lililo dhambi.’+
9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+
4 Wanaendelea kuropoka, wanaendelea kusema ovyoovyo;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza wanaendelea kujivuna wenyewe.+
8 Na Efraimu anaendelea kusema, ‘Kwa kweli nimekuwa tajiri;+ nimejipatia vitu vyenye thamani.+ Na kuhusu kazi yangu yote ya kutaabika, hawatanipata nikiwa na kosa lililo dhambi.’+