2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+
22 Lakini watu wote ambao wamekuwa wakiuona utukufu+ wangu na ishara+ zangu ambazo nimefanya katika Misri na nyikani na bado wakaendelea kunijaribu+ mara kumi hizi, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+